- 9,743 viewsDuration: 3:02Mvua kubwa inayoendelea kunyesha imesababisha mafuriko katika sehemu nyingi za kaunti ya mombasa. Miongoni mwa sehemu zilizoharibiwa na athari za mvua ni kituo cha polisi cha Inuka eneobunge la Likoni na hata hospitali kadhaa. Kaunti ya Mombasa sasa inasema inahitaji shilingi bilioni 300 kukabili hali hii.