Mwanablogu aliyefariki Kenya aliuawa na nani? Katika Dira ya Dunia TV
Uchunguzi umeonyesha kwamba Albert Ojwang ambaye ni mwanablogu na mwalimu aliyefariki akiwa kuzuizini baada ya kukamatwa na polisi aliuawa. Matokeo ya uchunguzi huo uliofanywa na mpasuaji wa serikali Dkt. Benard Midia imetofautiana na taarifa za awali za polisi kwamba Ojwang alikuwa amejiumiza kwa kujipiga ukutani. Kulingana na uchunguzi wa leo, Ojwang mwenye umri wa miaka 31 alipata majeraha mabaya kichwani, kwenye shingo na majeraha kwenye mwili mzima. Hii ikionyesha kwamba kifo chake kilisababishwa na kujeruhiwa kimakusudi.
Subscribe kupata video motomoto kila siku kutoka BBC Idhaa ya Kiswahili https://www.youtube.com/channel/UCoerKKIKIMlDYaVFSTlsWGw
11 Aug 2025
- The clip of the assault went viral over the weekend.
11 Aug 2025
- Several adverts have been posted online.
11 Aug 2025
- Lagat has largely maintained a 'low profile' since his return to office.
11 Aug 2025
- The British High Commissioner to Kenya, Neil Wigan is set to depart Kenya at the end of August marking an end to his 2 year tenure at the position.
11 Aug 2025
- Police in Eldoret have commenced investigations into an incident where a man received a parcel with three human fingers enclosed with six bullets.
11 Aug 2025
- Police in Eldoret have commenced investigations into an incident where a man received a parcel with three human fingers enclosed with six bullets.
11 Aug 2025
- Deputy Inspector General (DIG) of Police Eliud Lagat argues that the decision on whether to charge him over the death of blogger Albert Omondi Ojwang lies exclusively with the Director of Public Prosecutions (DPP) and not the courts.
11 Aug 2025
- The exposé contained footage allegedly showing minors being recruited into commercial sex work in Mai Mahiu
11 Aug 2025
- The ticketing malady witnessed in the ongoing CHAN 2024 competitions in Kenya has attracted censures from political leaders as many question the transparency of allowing football fans to secure tickets.
11 Aug 2025
- The clip of the assault went viral over the weekend.
11 Aug 2025
- "I am extremely sorry to be leaving Kenya after a whirlwind two years," Wigan said.
11 Aug 2025
- Several adverts have been posted online.
11 Aug 2025
- Mexico City's Benito Juarez International Airport suspended operations for several hours Sunday after heavy rains flooded the capital and caused poor visibility, authorities said.