Skip to main content
Skip to main content

NACADA wakutana viongozi wa dini Kapsabet, Nandi

  • | Citizen TV
    73 views
    Duration: 1:41
    Mamlaka ya Kitaifa ya Kudhibiti Matumizi ya Pombe na Dawa za Kulevya (NACADA) imewataka viongozi wa kidini kushiriki kikamilifu katika kukabiliana na ongezeko la visa vya ulevi na matumizi ya dawa za kulevya katika Kaunti ya Nandi.