- 1,278 views
Naibu gavana wa Siaya aliyebanduliwa na bunge la kaunti hiyo William Oduol anasema kuwa anaadhibiwa kwa kufichua ufisadi katika kaunti hiyo. Oduol ambaye anahojiwa na kamati maalum ya seneti kuhusu ushahidi uliotolewa dhidi yake ambapo anatuhumiwa kwa ubadhifiru wa pesa za kaunti na kutumia ofisi yake visivyo miongoni mwa mashtaka mengine amesema kuwa kaunti hiyo na haswa gavana James Orengo ilikuwa inafuja pesa za kaunti. Kamati hiyo maalum itachunguza ushahidi dhidi yake kabla ya kuandaa ripoti kuhusu iwapo alibanduliwa ofisini kihalali au la.
Naibu gavana wa Siaya William Oduol aliyebanduliwa ahojiwa
- 7 Aug 2025 - A man believed to be behind a string of brutal murders in Gem Yala sub-county in Siaya was apprehended and later lynched by members of the public.
- 7 Aug 2025 - The population of Japanese nationals fell by a record amount -- more than 900,000 people -- in 2024, official data showed, as the country battles to reverse its perennially low birth rates.
- 7 Aug 2025 - Court in Eldoret City has resolved more than 5,000 cases in the past year.
- 7 Aug 2025 - Alarm has been raised after it emerged that the government allocates only Ksh76 per primary school student.
- 7 Aug 2025 - There was a moment of unrest at Naivasha GK prison on Wednesday evening after close to 3,000 inmates protested the death of an inmate.
- 7 Aug 2025 - The baby was flown to India in April for a life-saving heart surgery.
- 7 Aug 2025 - Iranian officials maintain those deported were undocumented and most left voluntarily, citing security and resource concerns.
- 7 Aug 2025 - The two suspects are currently in custody and will be processed and arraigned in court.
- 7 Aug 2025 - The two passed away on Wednesday, August 6.
- 7 Aug 2025 - One person has been reported dead in the skirmishes.