Skip to main content
Skip to main content

Naibu kinara wa Jubilee Fred Matiang’i ashambulia serikali, aibua hofu ya wizi wa kura Nyamira

  • | Citizen TV
    1,580 views
    Duration: 2:51
    Naibu kinara wa chama cha Jubilee Fred Matiang'i ameendeleza mashambulizi kwa serikali akidai kuwa inapanga wizi wa kura katika chaguzi ndogo za wiki ijayo. Matiang'i ambaye amezungumza katika kaunti ya Nyamira amesema upinzani umeweka mikakati ya kuchunga kura hizo