15 May 2026 11:31 am | Citizen TV 379 views Duration: 1:48 Gavana wa kaunti ya Trans Nzoia George Natembeya aitaka serikali kuwacha kuwadhulumu wale wanaokosoa serikali, akisema hali hiyo inawanyima Wakenya uhuru wao wa kidemokrasia na haki ya kutoa maoni yao kwa uwazi.