Skip to main content
Skip to main content

Nishati ya jua yaimarisha huduma za dharura hospitali ya Rufaa ya Samburu

  • | Citizen TV
    336 views
    Duration: 3:02
    Wagonjwa wanao hitaji huduma za dharura katika hospitali ya rufaa ya samburu, wakiwemo watoto njiti wamepata afueni, kufuatia uzinduzi wa mradi wa nishati ya jua katika hospitali hiyo. Hii Ni mojawapo ya mikakati ya kuboresha huduma za matibabu kwenye hospitali hiyo ya rufaa, hii ni kufuatia tatizo la kupotea kwa nguvu za umeme kila mara hatua ambayo hutatiza huduma za matibabu.