- 357 viewsDuration: 45sKenya kupitia kamati ya olimpiki nchini NOCK inaandaa kongamano la muungano wa Akademia za Olimpiki Afrika (AANOA). Viongozi kutoka idara za michezo na utafiti watakuwa nchini kwa siku tatu kujadili na kuvumbua mbinu mpya za kukuza michezo ya olimpiki barani Afrika.