- 33,814 viewsDuration: 4:04Polisi katika Kaunti ya Kwale County wamemuokoa mwanaume mwenye umri wa miaka 22 katika kijiji cha Mwamanga, eneo la Bongwe-Gombato, baada ya kudaiwa kufungwa kwa minyororo kwa kipindi cha miezi mitano katika boma la mganga wa kienyeji.