Skip to main content
Skip to main content

Rais mstaafu Uhuru Kenyatta ahudhuria hafla chuoni Kabarak

  • | Citizen TV
    768 views
    Duration: 1:37
    Rais mstaafu Uhuru Kenyatta amepongeza juhudi za Chuo Kikuu cha Kabarak kuwekeza katika umeme wa miale ya jua, akisema hatua hiyo ni njia moja ya kuimarisha matumizi ya nishati ya stima.