- 162 views
Rais William Ruto ametangaza kuwa serikali itawaongezea marupurupu wawekezaji katika sekta ya uzalishaji wa bidhaa ili kukuza sekta hiyo hadi asilimia 20 ya pato la nchi. Ruto alikuwa akizungumza kwenye hafla ya uzinduzi wa kiwanda cha saruji cha kampuni ya cemtech limited katika kaunti ya Pokot Magharibi, ambapo alisema kuwa serikali haitaruhusu kuondolewa kwa ushuru unaotozwa bidhaa zinazoletwa kutoka nje na zinazoweza kutengenezwa nchini. Aidha Ruto alishikilia kuwa serikali haina fedha za kushughulikia matakwa ya madaktari wanaogoma.
Rais Ruto atangaza kuwa serikali itawaongezea marupurupu wawekezaji katika sekta ya uzalishaji
- 30 Apr 2024 - Former Murang’a governor Mwangi wa Iria was on Tuesday arraigned in court, where he pleaded not guilty to corruption charges.
- 30 Apr 2024 - The Ministry of Water and Sanitation has revealed the reason behind the killer flash flood in Mai Mahiu that has so far claimed 71 lives and left many injured.
- 30 Apr 2024 - Former Prime Minister Raila Odinga has expressed sorrow over the government’s response to the flood crisis as heavy rainfall continues to pound the country.
- 30 Apr 2024 - A section of the busy Embu-Meru highway was closed on Tuesday morning after cracks emerged on Ikong'u bridge at Kiagima area in Embu West sub county.
- 30 Apr 2024 - 28 people are still missing from the killer floods in Mai Mahiu, Nakuru County, that have so far claimed the lives of 71 residents.
- 30 Apr 2024 - NAIROBI, Kenya Apr 30 – Former Murang’a Governor Mwangi wa Iria has been charged for conspiring to defraud the county Sh140 million during his tenure. Court documents show that the sum was paid irregularly to Top Image media consultants between 2014 and…
- 30 Apr 2024 - Many Nigerian music lovers class themselves as either "Team Wizkid" or "Team Davido".
- 30 Apr 2024 - The Court has ruled on an application by 'Mathe Wa Ngara' to have her confiscated money back.
- - Aftermath of flooding tragedy in Kamuchiri Village, Maai Mahiu
- 30 Apr 2024 - African startups leveraging artificial intelligence and machine learning to develop solution that address problems facing the continent stand a chance to access support through Google’s accelerator program. The tech giant has now opened up application…