- 33,443 viewsDuration: 3:00Rais William Ruto ameamrisha asasi tofauti kuweka mikakati ya dharura kufuatia mvua kubwa iliyosababisha maafa na uharibifu katika kaunti mbali mbali nchini. Asasi hizi zikiwemo Majeshi ya Ulinzi, Kaunti ya Nairobi, Idara ya Polisi, Shirika la Msalaba Mwekunda Pamoja na Kampuni ya kusambaza Umeme KPLC na Wizara inayosimamia Huduma Maalum zimetakiwa kushirikiana kupambana na athari ya Mvua na mafuriko