Rais Trump akutana na Fogel baada ya kuachiliwa huru kutoka Russia
Rais wa Marekani Donald Trump amemkaribisha Mwalimu raia wa Marekani Marc Fogel katika white house jana jumanne usiku baada ya Fogel kuachiliwa huru kutoka Russia ambako amekuwa akizuiliwa tangu Agosti 2021 kwa tuhuma za kuingia Russia na bangi. Fogel amesema kwamba anahisi ana bahati sana duniani.
Ameshukuru rais Trump na wanadiplomasia wa Marekani Pamoja na mawakili kwa kusaidia kuweza kuwa uhuru.
Trump amesema ameshukuru kwamba Russia ilimuachilia huru Fogel. Hata hivyo hajatoa taarifa zaidi kuhusu makubaliano yaliyopelekea Fogel kuachiliwa huru.
Msemaji wa Kremlin Dmitry Peskov amewaambia waandishi wa habari kwamba Marekani ilikuwa imekubali kumuachilia huru raia wa Russia anayezuiliwa katika gereza la Marekani kama sehemu ya makubaliano hayo na kwamba aliyeachiliwa huru atatajwa atakapowasili Russia. - VOA NEWS
#rais #marekani #marcfogel #whitehouse #russia #bangi #voa #voaswahili
16 Jun 2025
- The police constable who was first arrested in connection to Ojwang's death has spoken up.
16 Jun 2025
- The weatherman has also listed regions that are expected to experience cold temperatures.
16 Jun 2025
- The late Albert Ojwang's father revealed details of a phone conversation with the president.
17 Jun 2025
- The Ethics and Anti-Corruption Commission (EACC) has arraigned the former Garissa County Government Chief Protocol Officer over claims of forging academic certificates to fraudulently secure employment and siphon millions in public funds.
17 Jun 2025
- A devastating new report has revealed that about 30 per cent of medicines circulating in Africa are falsified, with rates soaring to 60-80 per cent in conflict-affected regions. The study, “Securing the Medicine Distribution Network in Africa”, was…
17 Jun 2025
- Deputy Inspector General (DIG) of Police Eliud Kipkoech Lagat has stepped aside from his role following national outrage over the death of high school teacher and blogger Albert Ojwang, who was killed while in police custody after being arrested for…
17 Jun 2025
- Former Laikipia Governor Ndiritu Muriithi has claimed that the money given as handouts by leaders is cash diverted from public development projects. Explaining why he does not believe in giving handouts, Muriithi, who is currently the chair of the Kenya…
17 Jun 2025
- How 'Standard' covered the Ojwang' murder
17 Jun 2025
- Jacaranda wins first leg of league championships
17 Jun 2025
- Kenya's Divas show grit in loss to Namibia
17 Jun 2025
- Men should be at the forefront if fight against femicide is to be won
17 Jun 2025
- Collaboration, knowledge sharing is key in shaping Kenya's urban future
17 Jun 2025
- Meeting state force with care: How medics, lawyers and counsellors sprang to action