- 5,227 viewsDuration: 3:10Rais William Ruto ameendelea kuwarushia vijembe wanasiasa wa upinzani akiwataka wakenya kuepuka siasa za chuki. Akizungumza alipoanza ziara ya siku nne katika eneo la Gusii, Rais Ruto ameendelea kujipigia debe akisema rekodi yake ya maendeleo itampa fursa kuendelea kuwa rais kwenye uchaguzi mkuu ujao.