Skip to main content
Skip to main content

Ruto apinga tafsiri ya ripoti ya uchumi 2026

  • | Citizen TV
    1,032 views
    Duration: 4:08
    Rais William Ruto anapinga kile anachosema ni vichwa vya habari vinavyopotosha kufuatia kutolewa kwa Ripoti ya uchumi ya mwaka 2026 na shirika la Takwimu nchini KNBS. Takwimu mpya zinaonyesha kuwa kwa mwaka wa pili mfululizo ukuaji wa uchumi umepungua, kutoka asilimia 4.7 mwaka 2024 hadi asilimia 4.6 mwaka 2025. Ingawa takwimu zinaonyesha kushuka kidogo kwa kiwango cha ukuaji, Rais anasisitiza kuwa taswira halisi inaonyesha uthabiti, uundaji wa nafasi za ajira, na uthabiti wa uchumi kwa ujumla.