Skip to main content
Skip to main content

Ruto atetea mradi wa NYOTA kuwapa vijana ruzuku za biashara

  • | Citizen TV
    242 views
    Duration: 1:25
    Rais William Ruto ameendelea kutetea mradi wa serikali wa kuwapa vijana ruzuku ya kuanzisha biashara wa nyota, akisema inalenga kuwawezesha vijana kujikimu na kusaidia kutatua uhaba wa ajira