Katibu katika wizara ya fedha, Chris Kiptoo, ametetea mchakato unaoendelea wa kuandaa bajeti, akisema kuwa umebuniwa kwa njia itakayopunguza hatua kwa hatua utegemezi wa taifa hili kwa mikopo na kuielekeza Kenya kwenye uendelevu wa kifedha. Kiptoo amesisitiza kuwa ushuru uliopendekezwa na serikali kwa ajili ya kufadhili bajeti umezingatiwa kwa makini na unaongozwa na maslahi ya kitaifa.
Connect with KBC Online;
Subscribe to our channel: https://t.ly/86BKNc
Follow us on Twitter: https://twitter.om/KBCChannel1
Find us on Facebook: https://www.facebook.com/kbcchannel1TV
Check our website: https://www.kbc.co.ke/
#kbcchannel1 #news #kbclive