16 Apr 2026 10:53 am | Citizen TV 261 views Duration: 2:45 Serikali imezindua mikakati mipya ya kufufua sekta ya kahawa nchini, huku wakulima katika maeneo mapya kama Loitokitok, Kaunti ya Kajiado wakihamasishwa kurejea katika kilimo hicho chenye faida kubwa.