- 152 viewsMajeshi ya Israeli yamewauwa Wapalestina sita katika eneo la Ukingo wa Magharibi linalokaliwa kwa mabavu Jumanne (June 11), Wizara ya Afya ya Palestina ilisema, katika kile ambacho jeshi la Israeli limesema ilikuwa shambulizi dhidi ya wanamgambo. Jeshi la Israeli lilisema wanne kati ya wale waliofariki walikuwa ni wanamgambo wenye silaha, waliuwawa wakati wa kutupiana risasi na wanajeshi, katika kijiji cha Kufr Dan, karibu na mji wa Palestina wa Jenin. Kikundi cha wanamgambo wa Palestina hawakutoa tamko lolote mara moja. Kikosi cha Zimamoto kiliuzima moto uliokuwa unawaka ndani ya gari katika eneo hilo. Watu waliigundua miili ya watu wawili chini ya mti karibu na nyumba iliyokuwa imeharibiwa. Ghasia huko Ukingo wa Magharibi, zilikuwa tayari zimeongezeka kabla ya vita vya Israel na Hamas huko Gaza, zimezidi tangu wakati huo kutokana na mashambulizi ya mara kwa mara yanayofanywa na jeshi dhidi ya vikundi vya wanamgambo, ghasia za walowezi wa Kiyahudi katika vijiji vya Wapalestina, na Wapalestina wakifanya mauaji mitaani. Ukingo wa Magharibi na Gaza, ni maeneo yaliyotekwa na Israel katika vita vya mwaka 1967, ni kati ya ardhi ambazo Wapalestina wanazitaka ili wawe na taifa huru. Mazungumzo ya amani yaliyosimamiwa na Marekani yalivunjika muongo mmoja uliopita. #Haifa #waelaldahdouh #hamzaaldahdouh #shirikalamwezimwekundu #Rafah #Netanyahu #Misri #Hamas #Gaza #Palestina #IDF #GalMeirEizenkot #mauaji #jeshi #israel #voa #voaswahili #kufrdan #jenin #wanamgambo #wapalestina #jeshi #israel
Shambulizi lililofanywa na jeshi la Israeli lauwa Wapalestina sita
- 11 Aug 2025 - The ticketing malady witnessed in the ongoing CHAN 2024 competitions in Kenya has attracted censures from political leaders as many question the transparency of allowing football fans to secure tickets.
- 11 Aug 2025 - Mexico City's Benito Juarez International Airport suspended operations for several hours Sunday after heavy rains flooded the capital and caused poor visibility, authorities said.
- 11 Aug 2025 - Countries remained at loggerheads Monday over how to tackle plastic pollution, with only four days left to craft a landmark global treaty on reining in the ever-growing scourge.
- 11 Aug 2025 - Public Health Principal Secretary Mary Muthoni has warned management of level 2, level 3 and sub county hospitals against charging patients when they seek outpatient medical attention in those facilities.
- 11 Aug 2025 - Youth between the ages of 25 and 34 are the most active online.
- 11 Aug 2025 - President Donald Trump pledged on Sunday to evict homeless people from the nation's capital and jail criminals, despite Washington's mayor arguing there is no current spike in crime.
- 11 Aug 2025 - Israel's military said it killed an Al Jazeera journalist it accused of being a Hamas cell leader in a Gaza airstrike on Sunday, but rights advocates said he had been targeted for his frontline reporting on the Gaza war and Israel's claim lacked…
- 11 Aug 2025 - The project aims to ease traffic flow in the city.
- 11 Aug 2025 - They say many have been sitting back and waiting for the state to provide jobs
- 11 Aug 2025 - Police said one Erick Mutembei Njagi, 53, was shot and killed by four gunmen who were riding on a motorcycle.