- 152 viewsMajeshi ya Israeli yamewauwa Wapalestina sita katika eneo la Ukingo wa Magharibi linalokaliwa kwa mabavu Jumanne (June 11), Wizara ya Afya ya Palestina ilisema, katika kile ambacho jeshi la Israeli limesema ilikuwa shambulizi dhidi ya wanamgambo. Jeshi la Israeli lilisema wanne kati ya wale waliofariki walikuwa ni wanamgambo wenye silaha, waliuwawa wakati wa kutupiana risasi na wanajeshi, katika kijiji cha Kufr Dan, karibu na mji wa Palestina wa Jenin. Kikundi cha wanamgambo wa Palestina hawakutoa tamko lolote mara moja. Kikosi cha Zimamoto kiliuzima moto uliokuwa unawaka ndani ya gari katika eneo hilo. Watu waliigundua miili ya watu wawili chini ya mti karibu na nyumba iliyokuwa imeharibiwa. Ghasia huko Ukingo wa Magharibi, zilikuwa tayari zimeongezeka kabla ya vita vya Israel na Hamas huko Gaza, zimezidi tangu wakati huo kutokana na mashambulizi ya mara kwa mara yanayofanywa na jeshi dhidi ya vikundi vya wanamgambo, ghasia za walowezi wa Kiyahudi katika vijiji vya Wapalestina, na Wapalestina wakifanya mauaji mitaani. Ukingo wa Magharibi na Gaza, ni maeneo yaliyotekwa na Israel katika vita vya mwaka 1967, ni kati ya ardhi ambazo Wapalestina wanazitaka ili wawe na taifa huru. Mazungumzo ya amani yaliyosimamiwa na Marekani yalivunjika muongo mmoja uliopita. #Haifa #waelaldahdouh #hamzaaldahdouh #shirikalamwezimwekundu #Rafah #Netanyahu #Misri #Hamas #Gaza #Palestina #IDF #GalMeirEizenkot #mauaji #jeshi #israel #voa #voaswahili #kufrdan #jenin #wanamgambo #wapalestina #jeshi #israel
Shambulizi lililofanywa na jeshi la Israeli lauwa Wapalestina sita
- 15 May 2025 - Former Deputy President Rigathi Gachagua has unveiled his much-anticipated political outfit, the Democracy for the Citizens Party (DCP).
- 15 May 2025 - Police are investigating the killing of a taxi driver, Samuel Mwangi, whose body was discovered in a thicket in Machakos.
- 15 May 2025 - The petition, filed as Bench Petition No. E565 of 2024, was scheduled for May 15, 2025.
- 15 May 2025 - The Environment and Land Court in Garissa has issued temporary orders halting any new settlements or expansion activities along a disputed three-mile strip at the boundary between Tana River and Garissa counties. This directive follows a petition filed…
- 15 May 2025 - By the time of his death and burial on July 15, 2005, the son was eight years old.
- 15 May 2025 - In a historic first, Makueni County has achieved a breakthrough in healthcare after local doctors at the Makueni County Referral Hospital have successfully conducted the first brain tumour surgery, an achievement many once thought could only happen in…
- 15 May 2025 - Kenya is currently looking for investors in its aging electrical infrastructure.
- 15 May 2025 - Nandi County Senator Samson Cherargei has opined that Kenya's opposition's expected launch of a new political faction will not successfully topple President William Ruto from power.
- 15 May 2025 - Kenya is among 59 nations that are expected to benefit from the deal.
- 15 May 2025 - On Wednesday, Nairobi County shut down the freemasons church over land rate arrears.