Skip to main content
Skip to main content

Shughuli za kuwatafuta watu watatu inaendelea baada ya mashua kuzama kaunti ya Mombasa

  • | KBC Video
    366 views
    Duration: 3:07
    Shughuli za kuwatafuta watu watatu ambao haijulikani waliko baada ya mashua kuzama huko Tudor kaunti ya Mombasa wakati wa hafla ya mchezo wa majini zimeshika kasi. Wakati wa mkasa huo, watu 19 waliokolewa huku watatu waliosalia wakiwa haijulikani waliko baada ya mashua walimokuwa kuzama jana jioni. Kundi la mashirika mbalimbali limekuwa likiwatafuta kwenye bahari hindi leo, ila halijafanikiwa, huku familia za waliopotea zikiwa na matumaini kwamba jamaa zao watapatikana wakiwa hai. Connect with KBC Online; Subscribe to our channel: https://t.ly/86BKNc Follow us on Twitter: https://twitter.om/KBCChannel1 Find us on Facebook: https://www.facebook.com/kbcchannel1TV Check our website: https://www.kbc.co.ke/ #kbcchannel1 #news #kbclive