Skip to main content
Skip to main content

Shule ya Lopii Turkana yasalia kufungwa baada ya mtu kuuliwa na wezi wa mifugo eneo hilo

  • | Citizen TV
    1,698 views
    Duration: 3:46
    Hali ya taharuki imetanda katika Kijiji cha Lopiii Turkana mashariki, baada ya wezi wa mifugo kumuua mtu mmoja kwa kumpiga risasi na kuiba mifugo. Hali hii imesababisha shule ya msingi ya Lopiii kukosa kufunguliwa, wazazi na wanafunzi wakihofia usalama wao