- 199 views
Tume ya kupambana na ufisadi nchini imedai kuwa asilimia 80 ya visa vya ufisadi nchini vinachangiwa na maafisa wa utoaji zabuni na ununuzi wa bidhaa serikalini. Akizungumza kwenye kongamano la siku tano linalowahusisha maafisa wa utoaji zabuni wa serikali kuu na za kaunti, naibu afisa mkuu wa tume ya EACC Abdul Mohamud amepinga pendekezo la kufanyiwa marekebisho mswada kuhusu vita dhidi ya ufisadi akisema hatua hiyo italemaza juhudi za kukabiliana na ufisadi nchini. Aidha tume hiyo inachunguza utoaji wa zabuni ya kemsa pamoja na serikali ya kaunti ya siaya ambapo zaidi ya shilingi bilioni moja zinadaiwa kufujwa.
Tume ya EACC yaasema ufisadi umekithiri kwenye utoaji zabuni
- 10 Aug 2025 - Mali has arrested around 20 soldiers suspected of wishing to overthrow the junta, which itself took power in the west African country in a coup, sources told AFP on Sunday.
- 10 Aug 2025 - A family in Kitui County has been left in shock and grief after their wedding preparations suddenly turned into funeral arrangements, following the tragic death of their daughter, who was the bride-to-be.
- 10 Aug 2025 - South Sudan and Uganda will jointly investigate recent deadly clashes on their border, the South Sudanese army said Sunday, after six people died in fighting.
- 10 Aug 2025 - Speaking in Tononoka on Sunday, Prof. Kindiki said the completion of the Liwatoni Fish Port, Kidongo Fish Market, and the acquisition of deep sea fishing vessels will significantly enhance fishing and related businesses along the Coast.
- 10 Aug 2025 - Police in Mombasa on Sunday said they arrested a man and a woman on suspicion of drug trafficking and intercepted a haul of marijuana in the process.
- 10 Aug 2025 - Treasury Cabinet Secretary John Mbadi has defended the government’s plan to compensate protest victims and their families, describing the move as just, timely, and in the best interest of the Kenyan people.
- 10 Aug 2025 - The Nairobians braved the cold to attend an economic empowerment forum.
- 10 Aug 2025 - Ryan Ogam’s 42nd-minute goal proved decisive during the Stars game against Morocco.
- 10 Aug 2025 - Stars will look to build on this momentum as they take on Zambia in their final group match.
- 10 Aug 2025 - The chief officer for environment will seek reinforcement from thousands of workers.