21 Apr 2026 1:24 pm | Citizen TV 314 views Duration: 1:24 Tume ya Uchaguzi na uratibu wa mipaka IEBC imesema haitaongeza muda wa kujisajili kwa wakenya kuwa wapigakura, na kuwarai Wananchi kujitokeza katika wiki moja iliyosalia kujiandikisha.