- 1,174 viewsMsikiti Mkuu wa Makka ni mahali patakatifu sana kwa Waislamu duniani, ambapo mamilioni ya waumini hukusanyika kila mwaka kwa ajili ya ibada ya Hajj. Kwenye msikiti huu kuna Kaaba, jengo la mawe lenye umbo la mche mraba ambalo Waislamu wanaamini lilijengwa na Mitume Ibrahim na mwanawe Ismail, na ndiyo mwelekeo wa sala za Waislamu wote duniani. Msikiti huu umeendelea kupanuka kwa karne nyingi ili kuhimili idadi kubwa ya watu wanaokuja kusali, hasa wakati wa Hajj na Ramadhani. Leo unachukua eneo kubwa sana na unaweza kupokea hadi watu milioni tatu kwa siku, ukiwa umeboreshwa kwa vifaa vya kisasa kama viyoyozi, ngazi za umeme, na kamera za usalama, na hivyo kuendelea kuwa kitovu cha imani na umoja wa Waislamu duniani. Mwandishi wa BBC @munie_noor anauangazia msikiti huu maarufu 🎥: Frank Mavura - #bbcswahili #Hajj #IDD Subscribe kupata video motomoto kila siku kutoka BBC Idhaa ya Kiswahili https://www.youtube.com/channel/UCoerKKIKIMlDYaVFSTlsWGw
Ufahamu Msikiti Mkuu wa Makka: Moyo wa imani ya Kiislamu
- 7 Jun 2025 - Russia launched an intense missile and drone barrage at the Ukrainian capital Kyiv in the early hours of Friday, and three people were killed, Ukrainian officials said, as powerful explosions reverberated across the country.
- 7 Jun 2025 - President William Ruto’s Constitutional Affairs Advisor Prof. Makau Mutua has once again cemented his place in the global academic arena, having been named a 2024 Top Scholar by ScholarGPS, a prestigious platform that tracks and ranks scholarly…
- 7 Jun 2025 - Myanmar authorities have arrested 16 people, including a six-year-old girl, over the assassination of a retired general shot dead in Yangon last month, state media said.
- 7 Jun 2025 - The feud between Donald Trump and Elon Musk provoked chatter, mockery and amusement among the ruling class in Moscow, where one senior official joked about hosting peace talks and another said Musk should bring his businesses to Russia.
- 7 Jun 2025 - Thousands of residents and dozens of groups in Kapsaret Constituency, Uasin Gishu, got a major economic boost as goods worth Ksh.45 million were handed out in a grassroots empowerment drive, alongside a record Ksh.100 million fundraiser for local…
- 7 Jun 2025 - State acquires more land for Sh20 billion Mwache dam for planting trees
- 7 Jun 2025 - Kenyans ready for Six-Goal-Zimbabwe International Championships
- 7 Jun 2025 - Woman stabbed to death by ex-boyfriend at her workplace
- 7 Jun 2025 - Muslims call for forgiveness, compassion as they mark Eid al Adha
- 7 Jun 2025 - Odira, Muneria fly past star-studded field at Kenya Prisons meet