Skip to main content
Skip to main content

Upasuaji wathibitisha mfanyabiashara George Gathu alifariki kwa risasi ya polisi Karatina

  • | Citizen TV
    2,461 views
    Duration: 3:06
    Upasuaji wa maiti ya mfanyabiashara George Gathu aliyeuawa baada ya kupigwa risasi na polisi huko Karatina umeonyesha kuwa alifariki na majeraha ya risasi. Upasuaji huu ukifanywa huku kanda za CCTV ikionyesha matukio hayo ya jumapili usiku. Mauti ya mfanyabiashara huyu mikononi mwa polisi ulichukua chini ya dakika moja