- 1,600 viewsDuration: 2:30Familia zaidi ya mia tatu katika vijiji vinne mjini Lodwar, Kaunti ya Turkana zimeachwa bila makao baada ya mvua kubwa iliyoandamana na upepo kung’oa na kusomba paa za nyumba zao. Wakazi hao wanataka serikali na wahisani kujitokeza ili kuwanusuru wakati huu wa dharura.