Skip to main content
Skip to main content

Vijana wahimizwa kujifunza lugha za kigeni

  • | KBC Video
    102 views
    Duration: 1:38
    Katibu katika idara ya vyuo vya mafunzo ya kiufundi-TVETS, dkt. Esther Muoria, amesisitiza jukumu la uhamaji wa wafanyakazi katika kuwaweka vijana wa humu nchini kwenye fursa za ajira za kimataifa. Dkt. Muoria alisema kuwa ustadi wa lugha ni sehemu muhimu ya ushindani katika soko la ajira la kimataifa. Connect with KBC Online; Subscribe to our channel: https://t.ly/86BKNc Follow us on Twitter: https://twitter.om/KBCChannel1 Find us on Facebook: https://www.facebook.com/kbcchannel1TV Check our website: https://www.kbc.co.ke/ #kbcchannel1 #news #kbclive