Skip to main content
Skip to main content

Vinara wa upinzani walazimika kuhama kanisa walilokuwa Kindiki alipowasili

  • | Citizen TV
    9,257 views
    Duration: 2:50
    Iliwalazimu Wanasiasa wa upinzani kutafuta Kanisa mbadala kuhudhuria ibada ya Jumapili huko Meru, baada ya Naibu Rais Kithure Kindiki kufika Kanisani Methodist Kaaga, walikotarajiwa vinara hao kuhudhuria ibaada ya kutawazwa kwa askofu mpya wa jimbo hilo. Kabla ya kujumuika na waumini kwenye ibada hiyo, waandalizi wa upinzani walitimuliwa sehemu kulikoandaliwa shughuli hiyo, huku siasa za ubabe wa eneo hilo zikiendelea.