- 460 viewsDuration: 2:04Viongozi kutoka eneo la magharibi pia wamezamia suala hilo hilo la mafuta na kuwarai viongozi kutoingiza siasa kwenye ongezeko la mafuta. Wanasema hali hiyo imesababishwa na msukosuko katika mataifa ya mashariki ya kati kufuatia vita vya marekani na Israel dhidi ya Iran