- 1,574 viewsDuration: 2:01Viongozi mbalimbali kaunti ya Machakos wanamtaka rais William Ruto kuzingatia maslahi ya wafanyibiashara wadogo na wahudumu wa sekta ya uchukuzi kufuatia kupanda kwa bei ya mafuta nchini. Wanamtaka rais Ruto aondoe ushuru kwenye bidhaa zote za mafuta ya Petroli ili kurudisha bei hiyo chini