Skip to main content
Skip to main content

Wafanyabiashara wa samaki Busia waandamana kufuatia kutoweka kwa mmoja wao

  • | Citizen TV
    805 views
    Duration: 2:34
    Wafanyabiashara wa samaki katika mji wa busia wanazidi kuingiwa na hofu kufuatia kutoweka kwa mmoja wao; ahmed ibrahim ali aliyetekwa nyara miezi mitatu iliyopita na watu wanaodaiwa kuwa maafisa wa polisi akiwa njiani kuelekea Nairobi.