Skip to main content
Skip to main content

Wafanyikazi 6 wa zamani wa kaunti ya Homa Bay washtakiwa kwa kesi ya ufisadi

  • | Citizen TV
    311 views
    Duration: 1:18
    Tume ya kupambana na ufisadi nchini EACC hatimaye imewafikisha mahakamani waliokuwa wafanyikazi 6 wa kaunti ya Homa Bay kwa kosa la ubadhirifu wa zaidi ya shilingi miliaoni 348 katika kandarasi ya ujenzi wa bunge la kaunti ya Homa Bay.