Skip to main content
Skip to main content

Wagonjwa zaidi ya 2,000 waliokuwa na matatizo ya macho wamechunguzwa na kutibiwa bila malipo

  • | Citizen TV
    98 views
    Duration: 1:59
    Wagonjwa zaidi ya 2,000 waliokuwa na matatizo ya macho wamechunguzwa na kutibiwa bila malipo katika eneo la Rumuruti, Kaunti ya Laikipia, huku wengi wao wakifanyiwa upasuaji wa utando wa jicho.