Skip to main content
Skip to main content

Wakazi Vihiga wanasema visa vya utovu wa usalama vimezidi

  • | Citizen TV
    394 views
    Duration: 1:40
    Polisi walilazimika kutumia nguvu kuifungua barabara ya Kisumu–Busia eneo la Buyangu, kaunti ya Vihiga, baada ya wakaazi wa Emuhaya kuifunga kwa saa kadhaa wakilalamikia kuongezeka kwa visa vya ukosefu wa usalama.