Skip to main content
Skip to main content

Wakazi wa vijiji Nyamira, waaliandamana kulalamikia ukosefu wa umeme vijijini humo

  • | Citizen TV
    374 views
    Duration: 2:29
    Wakazi wa vijiji vya Riechieri, Gesweswe, Nyamarimba, Nyameko na Kiemuma eneo bunge la Mugirango Kaskazini katika kaunti ya Nyamira, waaliandamana kulalamikia ukosefu wa umeme vijijini humo kwa zaidi ya miezi minne sasa.