21 Apr 2026 1:46 pm | Citizen TV 374 views Duration: 2:29 Wakazi wa vijiji vya Riechieri, Gesweswe, Nyamarimba, Nyameko na Kiemuma eneo bunge la Mugirango Kaskazini katika kaunti ya Nyamira, waaliandamana kulalamikia ukosefu wa umeme vijijini humo kwa zaidi ya miezi minne sasa.