Skip to main content
Skip to main content

Wakazi wanufaika na kandarasi za serikali ya kaunti Trans Nzoia

  • | Citizen TV
    464 views
    Duration: 1:59
    Mamia ya wakazi wa Kaunti ya Trans Nzoia wamenufaika na kandarasi mbalimbali kutoka Serikali ya Kaunti kupitia Hazina ya Nawiri, iliyoanzishwa na Gavana George Natembeya.