Skip to main content
Skip to main content

Wakazi wapinga ujenzi wa kiwanda cha kusafisha dhahabu huko Bondo

  • | Citizen TV
    477 views
    Duration: 1:36
    Baadhi ya wakazi wa kijiji cha Bondo Rateng’ kaunti ya Siaya wameandamana kupinga pendekezo la kuanzishwa kwa kiwanda cha kusafisha dhahabu katika eneo hilo, wakitaja athari za kimazingira na kiafya.