- 293 viewsWakenya wapata wakati mgumu kwa sababu bei ya mafuta yafikia kiwango cha juu zaidi kuwahi kushuhudiwa nchini. Bei mpya zatangazwa na Mamlaka ya Kudhibiti bei ya mafuta nchini, EPRA, zaonyesha kuwa bei ya petroli yaongezeka kwa shilingi 16 kwa lita huku dizeli ikiongezeka kwa shilingi 46 kwa kila lita.