Wakimbizi 278 warejeshwa Burundi kutoka kambi ya Mulongwe, DRC
Kambi ya wakimbizi ya Mulongwe iko mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo. Baada ya mwaka mmoja kukiwa hakuna wakimbizi wa Burundi wanaorejea nchini kwao, siku ya Alhamisi shirika la Umoja wa Mataifa linaloshughulikia Wakimbizi (UNHCR) liliwarejesha wakimbizi 278 walirejeshwa Burundi kutoka kambi ya Mulongwe.
Wengi ya wakimbizi waliorejeshwa waliripoti kuwa mivutano kati yao na wenyeji wa Congo ilikuwa ni sababu kuu ya uamuzi wao kurejea nyumbani, wakati wengine waligusia kusikia kuwa usalama umerejea nchini Burundi.
Wakimbizi wa Burundi 278 waliorejeshwa walikuwa ni familia 70. Walivuka mpaka wa Kavimvira kati ya Congo na Burundi wakisindikizwa na maafisa wa UNHCR, Mkuu wa Tume ya Taifa kwa ajili ya Wakimbizi, Usaidizi, Hatua na Misaada.
Walisisitiza kuwa masharti ya uvunaji na kukataliwa kupewa ardhi yao wanayolima na baadhi ya raia wa Congo imepelekea uamuzi wao wa kurejea nyumbani.
Iwapo hawa raia wa Burundi wanarejea nyumbani, shirika la UNHCR kawaida huwapatia kila mkimbizi dola 200.
Takwimu kutoka UNHCR na Tume ya Taifa kwa Wakimbizi zinaonyesha kuwa kuna zaidi ya wakimbizi 430,000 raia wa Burundi nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo.
#burundi #drc #voa
5 Aug 2025
- The highway is expected to connect Kenya and two neighbouring nations.
5 Aug 2025
- This comes after the closure of at least 1,000 facilities.
5 Aug 2025
- Pastor was removed from duty due to alleged misconduct.
5 Aug 2025
- Elson Tumwine, who had gone missing while interning at Hoima, a city in Uganda reappeared in Entebbe Magistrate Court and was arraigned before Grade One Magistrate Tibayeta Edgar Tusiime.
5 Aug 2025
- Okode claims the letter was a forgery and that no such resignation exists, adding that it was the work of saboteurs.
5 Aug 2025
- Five people, among them an infant, were killed a road crash at Mbaruk area in Gilgil along the Nakuru-Eldoret Highway.
5 Aug 2025
- The United States on Monday issued a security alert after heavy gunfire erupted near its embassy in Haiti, with the impoverished Caribbean country engulfed by escalating gang violence.
5 Aug 2025
- According to KMPDC appeals to be made after 90 days; bed update requests due by August 8.
5 Aug 2025
- A Brazilian judge on Monday placed former president Jair Bolsonaro under house arrest for breaking a social media ban, escalating a dramatic standoff between the court and the politician, who is accused of plotting a coup.
5 Aug 2025
- The Directorate of Criminal Investigations (DCI) has apprehended Tiktoker Shedrack Omondi Okindo, alias Hon. Mosquito, in connection with an inciting video that was widely circulated on TikTok.
5 Aug 2025
- The highway is expected to connect Kenya and two neighbouring nations.
5 Aug 2025
- This comes after the closure of at least 1,000 facilities.
5 Aug 2025
- The U.S. could require bonds of up to $15,000 (approximately Ksh.1,938,150 for some tourist and business visas under a pilot program launching in two weeks, a government notice said on Monday, an effort that aims to crack down on visitors who overstay…