- 1,392 views
Wasimamizi wa kampuni ya kutengeneza mbolea ya KEL Chemicals sasa wanadai kuwa baadhi ya maafisa wakuu serikalini waliwalazimisha na kuwashinikiza kukiri kuwa walisambaza mbolea ghushi nchini. Afisa mkuu wa operesheni kwenye kampuni hiyo amesema kuwa alikamatwa na kuzuiliwa kwa muda baada ya mkutano uliohusisha wasimamizi wakuu serkalini kutibuka katika afisi ya rais. Aidha, maafisa wa kiwanda hicho ambao wamekana kwamba kampuni hiyo ilihusika na utengenezaji na usambazaji wa mbolea ghushi, wamedai kwamba kulikuwa na njama ya kulazimisha afisa mkuu wa kiwanda hicho kubeba lawama za sakata hiyo
Wakuu wa KEL Chemicals wadai kutishiwa na serikali
- 1 May 2024 - KeNHA has announced closures of the Ewaso Ngiro-Narusura (B19) Road, the Kedong Ranch-Suswa Road, as well as the Kamulu-Kangundo Road at the Joska Athi River Bridge.
- 1 May 2024 - A Kitengela woman who took to the microblogging site X to appeal for help after being marooned in her house due to excessive flooding has finally found help.
- 1 May 2024 - President William Ruto has downplayed the purported moniker ‘Zakayo,’ saying he is unbothered by it so long as Kenyans continue to pay their taxes.
- 1 May 2024 - The Kenya Red Cross is presently conducting a search and rescue operation in Narok County where over 14 tourist camps have been overrun by floodwaters.
- 1 May 2024 - The fire broke out on Wednesday evening.
- 1 May 2024 - Ousted Migori County Assembly Speaker Charles Owino Likoa has received a sigh of relief after a Labour court sitting in Kisumu issued an order stopping the House from replacing him pending the hearing of a case.
- 1 May 2024 - The raid comes days after a terrorist attack was reported in Mandera County.
- 1 May 2024 - Kerio Valley Development Authority has assured the residents that there is no cause for alarm.
- 1 May 2024 - Athletics Kenya, AK, has named the final formidable eight-member marathon team that will represent the country in the Paris 2024 Olympics. Two-time Olympic champion Eliud Kipchoge will lead the men’s team, while 2020 Olympic champion Peres Jepchirchir…
- 1 May 2024 - The new law came into effect on Wednesday, ending Florida's place as a hub for the procedure in the US south.