- 1,392 views
Wasimamizi wa kampuni ya kutengeneza mbolea ya KEL Chemicals sasa wanadai kuwa baadhi ya maafisa wakuu serikalini waliwalazimisha na kuwashinikiza kukiri kuwa walisambaza mbolea ghushi nchini. Afisa mkuu wa operesheni kwenye kampuni hiyo amesema kuwa alikamatwa na kuzuiliwa kwa muda baada ya mkutano uliohusisha wasimamizi wakuu serkalini kutibuka katika afisi ya rais. Aidha, maafisa wa kiwanda hicho ambao wamekana kwamba kampuni hiyo ilihusika na utengenezaji na usambazaji wa mbolea ghushi, wamedai kwamba kulikuwa na njama ya kulazimisha afisa mkuu wa kiwanda hicho kubeba lawama za sakata hiyo
Wakuu wa KEL Chemicals wadai kutishiwa na serikali
- 7 Aug 2025 - A man believed to be behind a string of brutal murders in Gem Yala sub-county in Siaya was apprehended and later lynched by members of the public.
- 7 Aug 2025 - The population of Japanese nationals fell by a record amount -- more than 900,000 people -- in 2024, official data showed, as the country battles to reverse its perennially low birth rates.
- 7 Aug 2025 - There was a moment of unrest at Naivasha GK prison on Wednesday evening after close to 3,000 inmates protested the death of an inmate.
- 7 Aug 2025 - Iranian officials maintain those deported were undocumented and most left voluntarily, citing security and resource concerns.
- 7 Aug 2025 - One person has been reported dead in the skirmishes.
- 7 Aug 2025 - A US Senator has initiated a review of Kenya' Major non-NATO ally status.
- 7 Aug 2025 - The two were involved in a head-on collision.
- 7 Aug 2025 - He was arrested on suspicion of possession of a firearm while being a felon.
- 7 Aug 2025 - NAIROBI, Kenya, Aug 7 – A group of six Kenyans has moved to court to challenge the Independent Electoral and Boundaries Commission (IEBC) over its refusal to process recall petitions against Members of Parliament. The petitioners Newton Boore, Dennis…
- 7 Aug 2025 - The new rates will apply for the upcoming academic year only.