- 41 viewsMajeshi ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo yanasema kuwa yamezima jaribio la mapinduzi mapema Jumapili na kuwakamata wahalifu, wakiwemo raia wa kigeni kadhaa. Hii ilifuatia mashambulizi yaliyofanywa katika kasri ya rais na makazi ya mshirika wa karibu wa Rais Felix Tshisekedi ambapo watu watatu waliuawa katika mji mkuu, Kinshasa. Sita kati ya hao waliouawa ni pamoja na washambuliaji watatu na kiongozi wao, kiongozi wa upinzani aliyekuwa anaishi ughaibuni Christian Malanga, msemaji wa jeshi la Congo Brigedia Jenerali Sylvain Ekenge aliwaambia waandishi wa habari Jumapili usiku, akiongeza kuwa wahalifu takriban 50 walikamatwa. Video hiyo inaonyesha watu kadhaa wa Congo ambao hakutambulishwa, wanaoshukiwa kuhusika katika kile jeshi la ulinzi ilichosema kilikuwa ni mapinduzi yaliyofeli, wakiwa wamezingirwa na wanajeshi wa Congo. Wamarekani wawili, wanaoshukiwa kuhusika katika kile jeshi ilichosema ni mapinduzi yaliyofeli, wakiwa chini wamezungukwa na wanajeshi wa Congo (mtoto raia wa Marekani wa Christian Malanga katika picha ya chini, iliyozungushiwa duara jekundu). #mapinduzi #drc #jeshi #wanamgambo #felixtshisekedi #voa #voaswahili #christianmalanga #jenerali #sylvainekenge #congo #rais #felixtshisekedi
Wamarekani 2 washukiwa wa jaribio la mapinduzi wakamatwa DRC
- 15 Feb 2025 - M23 fighters and Rwandan troops seized the airport serving Bukavu, the capital of South Kivu province in the eastern Democratic Republic of Congo on Friday, security and humanitarian sources said.
- 15 Feb 2025 - As tech billionaire Elon Musk expands his influence over more than a dozen U.S. federal agencies, frustration is growing among some top aides to President Donald Trump, who want more coordination from Musk's team as he slashes the U.S. government,…
- 15 Feb 2025 - Pope Francis was admitted to the hospital on Friday for tests and treatment for bronchitis, the latest in a series of health problems for the 88-year-old pontiff.
- 15 Feb 2025 - Scientists, researchers and policymakers have for many years struggled with how to make the vital connections between gender, social equity, and climate change. As more data and research reveal their clear correlation, the disparate impacts of climate…
- 15 Feb 2025 - Public schools on verge of shut down as funding crisis worsens
- 15 Feb 2025 - In-tray is full for next AU chair as Raila stands best chance
- 15 Feb 2025 - What Babu, Salasya and Nyoro owe the youth
- 15 Feb 2025 - Court rejects father's wish, grants his daughter freedom to marry lover
- 15 Feb 2025 - Let's create dignified spaces for all to express love to those they love
- 15 Feb 2025 - Farmers incur losses as mango buyers avoid restive Kerio Valley