- 41 viewsMajeshi ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo yanasema kuwa yamezima jaribio la mapinduzi mapema Jumapili na kuwakamata wahalifu, wakiwemo raia wa kigeni kadhaa. Hii ilifuatia mashambulizi yaliyofanywa katika kasri ya rais na makazi ya mshirika wa karibu wa Rais Felix Tshisekedi ambapo watu watatu waliuawa katika mji mkuu, Kinshasa. Sita kati ya hao waliouawa ni pamoja na washambuliaji watatu na kiongozi wao, kiongozi wa upinzani aliyekuwa anaishi ughaibuni Christian Malanga, msemaji wa jeshi la Congo Brigedia Jenerali Sylvain Ekenge aliwaambia waandishi wa habari Jumapili usiku, akiongeza kuwa wahalifu takriban 50 walikamatwa. Video hiyo inaonyesha watu kadhaa wa Congo ambao hakutambulishwa, wanaoshukiwa kuhusika katika kile jeshi la ulinzi ilichosema kilikuwa ni mapinduzi yaliyofeli, wakiwa wamezingirwa na wanajeshi wa Congo. Wamarekani wawili, wanaoshukiwa kuhusika katika kile jeshi ilichosema ni mapinduzi yaliyofeli, wakiwa chini wamezungukwa na wanajeshi wa Congo (mtoto raia wa Marekani wa Christian Malanga katika picha ya chini, iliyozungushiwa duara jekundu). #mapinduzi #drc #jeshi #wanamgambo #felixtshisekedi #voa #voaswahili #christianmalanga #jenerali #sylvainekenge #congo #rais #felixtshisekedi
Wamarekani 2 washukiwa wa jaribio la mapinduzi wakamatwa DRC
- 27 Jul 2024 - Team Kenya, led by Malkia strikers captain Triza Atuka and African fastest man in 100m Ferdinand Omanyala, was among the over 200 countries which paraded across River Seine during the opening ceremony of the 33rd Olympic Games held on Friday night along…
- 27 Jul 2024 - Azimio leaders accused of plotting coup against Raila Odinga
- 27 Jul 2024 - Teachers' pay rise plan in limbo as Treasury cuts Sh10b from budget
- 27 Jul 2024 - My father sold land but we lost it all, man says in Finland saga trial
- 27 Jul 2024 - Panic in Kihiu Mwiri as residents face eviction
- 27 Jul 2024 - The fate of investigations into the death of Rex Masai, who was allegedly felled by police bullets during the Anti-Finance Bill protests, remains uncertain after a key witness backed out of the case.
- 27 Jul 2024 - A 90-year-old man from Kilifi has been sentenced to 30 years in prison for defiling his 6-year-old stepdaughter. Kea Katana Mdudu is said to have committed the crime on July 16, 2019, in Mwaeba Pangani village, Tsangalaweni, Ganze Sub County, Kilifi…
- 27 Jul 2024 - Governor Wavinya Ndeti has announced Ksh80 million table banking fund at the grand launch of the women-only, Makima Tithers Sacco. The event, aimed at empowering women economically, saw enthusiastic participation from local women entrepreneurs and…
- 27 Jul 2024 - Defending champions and series holders KCB are in Pool 'A' alongside Nondies, Homeboyz and Impala.
- 27 Jul 2024 - The feeling can be worse for sportsmen and women who miss out on a place at the Games through no fault of their own.