- 517 viewsDuration: 1:34Katika kaunti ya Tana River, viongozi na wafuasi wa chama cha UDA kutoka kaunti ya Tana River wameghadhabishwa na hatua ya chama hicho kuahirisha uchaguzi wa mashinani uliotarajiwa kufanyika hii leo hadi mwezi ujao ili kufanya maandalizi ya kutosha.