- 347 viewsDuration: 1:10Wanachama wa chama cha National liberal party wanasema mashambulizi dhidi ya upinzani ni njama ya kuwatisha. Kiongozi wa chama hicho, dkt. Augustus muli, anamtaka rais william ruto kuchukua hatua kali dhidi ya wahuni na wafadhili wao.ameonya kuwa hali hii inaweza kusababisha machafuko na kuvuruga demokrasia ya kenya