Skip to main content
Skip to main content

Wanafunzi 27 kutoka chuo kikuu cha Kabianga wajeruhiwa kwenye purukushani leo

  • | Citizen TV
    3,846 views
    Duration: 1:33
    Wanafunzi 27 kutoka chuo kikuu cha Kabianga walijeruhiwa kufuatia mkurupuko wa wanafunzi uliotokea baada ya upande mmoja wa darasa kuanguka, wanafunzi hao walipokuwa wanafanya mtihani.