Skip to main content
Skip to main content

Wanafunzi wenye ulemavu kutoka shule ya Tala Machakos waibuka washindi wa kitaifa katika densi

  • | Citizen TV
    1,513 views
    Duration: 1:48
    Wanafunzi wenye ulemavu kutoka shule ya msingi ya Tala integrated, kaunti ya Machakos, wameibuka washindi wa kitaifa katika densi na ubunifu kwenye mashindano yaliyokamilika hivi karibuni ya michezo ya kuigiza ambayo yalifanyika kaunti ya Nyeri