Skip to main content
Skip to main content

Wanasiasa wa chama tawala wapuuzilia mbali semi za Matiang’i za watu wasio Wakenya kusajiliwa

  • | KBC Video
    638 views
    Duration: 3:20
    Baadhi ya wanasiasa wanaoegemea mrengo wa Rais William Ruto wamepuuzilia mbali semi za aliyekuwa waziri wa usalama wa taifa Fred Matiang’i, aliyedai kuwepo kwa watu ambao sio raia wa Kenya, wanaosajiliwa na kupewa vitambulisho vya kitaifa. Wakizungumza mjini Oda kaunti ya Tana River, viongozi hao wakiongozwa na waziri wa usalama wa taifa Kipchumba Murkomen waliyataja matamshi hayo kuwa ya uchochezi na hatari. Connect with KBC Online; Subscribe to our channel: https://t.ly/86BKNc Follow us on Twitter: https://twitter.om/KBCChannel1 Find us on Facebook: https://www.facebook.com/kbcchannel1TV Check our website: https://www.kbc.co.ke/ #kbcchannel1 #news #kbclive