- 5,623 views
Wandani wa rais mstaafu Uhuru Kenyatta sasa wamo serikalini. Katika mageuzi ya baraza la mawaziri yaliyotangazwa jioni hii ni kwamba mutahi kagwe ameteuliwa katika wizara ya kilimo huku aliyekuwa gavana wa kiambu william kabogo akiteuliwa kuwakilisha wizara ya teknolojia na mawasiliano. lee kinyanjui ameteuliwa katika wizara ya biashara, uwekezaji na viwanda.wengine walioteuliwa ni pamoja na margaret nyambura ambaye ameteuliwa kuwa balozi wa ghana, aliyekuwa waziri wa michezo wakati wa uhuru ababu namwamba ameteuliwa kama mwakilishi wa kenya- unep, balozi dorothy angote ameteuliwa kuwa balozi wa zimbabwe huku dkt. andrew karanja akiteuliwa kama balozi wa brazil. salim mvurya ameteuliwa katika wizara ya michezo na vijana huku kipchumba murkomen aking'olewa kwenye wizara ya michezo na kuteuliwa katika wizara ya usalama wa ndani. ndiritu muriithi ameteuliwa kama mwenyekiti, bodi ya kra, anthony mwaura mwenyekiti, bodi ya kerra na kembi gitura - mwenyekiti, bodi ya hospitali ya k.u. mabadiliko haya yanajiri siku chache baada ya rais william ruto kukutana na rais mstaafu uhuru kenyatta.
Subscribe to NTV Kenya channel for latest Kenyan news today and everyday. Get the Kenya news updates, discussions and other exciting shows.
Website: ntv.nation.co.ke || Paper: Daily Nation || Twitter: @ntvkenya || Facebook: NTV Kenya || Instagram: NTV Kenya
Wandani wa Rais Uhuru waingia serikalini katika mageuzi ya baraza la mawaziri
- - Duniani Leo ››
- - Tribe47|| DJ Osama ››
- 28 Jun 2025 - Twenty-four suspects linked to the destruction of public property during the June 25 protests in Kikuyu, Kiambu County, have been detained for 14 days as investigations continue.
- 28 Jun 2025 - Police in Isiolo have launched investigations into a shooting incident and acts of vandalism that occurred at the Isiolo County Assembly during the chaos that followed Thursday’s impeachment motion against Governor Abdi Ibrahim Guyo.
- 28 Jun 2025 - President Ruto previously mediated the conflict.
- 28 Jun 2025 - The judge faulted Mr Nderitu for his failure to demonstrate that Ms Nyokabi intended to alienate or dispose of the contested property.
- 28 Jun 2025 - One person has died and another sustained serious injuries after a wall collapsed during a house demolition in Isyukoni Village, Ekalakala Sub-location, Masinga Sub-county.
- 28 Jun 2025 - “The moment was very depressing. It was short but ugly. You can’t even tell what really happened."
- 28 Jun 2025 - KEBS said the said individuals are allegedly extorting bribes of up to Sh20,000 per shop.
- 28 Jun 2025 - Gachagua also accuses CS Murkomen of attempting to mislead Kenyans
- 28 Jun 2025 - Eleven youths were on Friday charged at the Gichugu Law Courts with malicious damage to property contrary to Section 339(1) of the Penal Code.
- 28 Jun 2025 - Former Deputy President, Rigathi Gachagua has absolved himself from blame that he funded goons to infiltrate Gen Z protests.