- 5,623 views
Wandani wa rais mstaafu Uhuru Kenyatta sasa wamo serikalini. Katika mageuzi ya baraza la mawaziri yaliyotangazwa jioni hii ni kwamba mutahi kagwe ameteuliwa katika wizara ya kilimo huku aliyekuwa gavana wa kiambu william kabogo akiteuliwa kuwakilisha wizara ya teknolojia na mawasiliano. lee kinyanjui ameteuliwa katika wizara ya biashara, uwekezaji na viwanda.wengine walioteuliwa ni pamoja na margaret nyambura ambaye ameteuliwa kuwa balozi wa ghana, aliyekuwa waziri wa michezo wakati wa uhuru ababu namwamba ameteuliwa kama mwakilishi wa kenya- unep, balozi dorothy angote ameteuliwa kuwa balozi wa zimbabwe huku dkt. andrew karanja akiteuliwa kama balozi wa brazil. salim mvurya ameteuliwa katika wizara ya michezo na vijana huku kipchumba murkomen aking'olewa kwenye wizara ya michezo na kuteuliwa katika wizara ya usalama wa ndani. ndiritu muriithi ameteuliwa kama mwenyekiti, bodi ya kra, anthony mwaura mwenyekiti, bodi ya kerra na kembi gitura - mwenyekiti, bodi ya hospitali ya k.u. mabadiliko haya yanajiri siku chache baada ya rais william ruto kukutana na rais mstaafu uhuru kenyatta.
Subscribe to NTV Kenya channel for latest Kenyan news today and everyday. Get the Kenya news updates, discussions and other exciting shows.
Website: ntv.nation.co.ke || Paper: Daily Nation || Twitter: @ntvkenya || Facebook: NTV Kenya || Instagram: NTV Kenya
Wandani wa Rais Uhuru waingia serikalini katika mageuzi ya baraza la mawaziri
- 18 Aug 2025 - The county government of Machakos has announced that it is ready to negotiate with nurses to end the ongoing strike.
- 18 Aug 2025 - The county government of Machakos has announced that it is ready to negotiate with nurses to end the ongoing strike.
- 18 Aug 2025 - National Assembly Speaker Moses Wetang’ula has urged residents of Rift Valley to rally behind President William Ruto in his bid for a second term, arguing that his performance has dwarfed that of his predecessors.
- 18 Aug 2025 - Five suspects are awaiting arraignment after being found in possession of bhang and other stolen items after a crackdown in Kakamega.
- 18 Aug 2025 - Single motherhood is often a journey filled with challenges, resilience, and strength. In Kenya, several well-known celebrities have
- 18 Aug 2025 - In Egypt's Wadi al-Gemal, where swimmers share a glistening bay with sea turtles, a shadowy tourism deal is threatening one of the Red Sea's last wild shores.
- 18 Aug 2025 - US President Donald Trump said reclaiming Crimea or entering NATO were off the table for Ukraine, as President Volodymyr Zelensky arrived in Washington for Monday's talks aimed at ending the war with Russia.
- 18 Aug 2025 - Customary marriages are popular in Kenya.
- 18 Aug 2025 - Counties to provide budget, integrate programme into CIDPs for sustainability
- 18 Aug 2025 - The AI prison experiment that lets inmates feel their victims’ pain”