- 499 viewsWashukiwa watatu waliohusishwa na uvamizi katika All Saints' Cathedral Nairobi wamefikishwa mahakamani leo. Washukiwa hao sasa wamezuiliwa kwa siku kumi zaidi ili kutoa nafasi ya uchunguzi kukamilika. Franklin Walla anaripoti kuhusu watu hao waliokamatwa kufuatia matukio ya Ijumaa iliyopita wakati wa uvamizi katika kanisa hilo.