- 5,910 viewsDuration: 2:26Jioni ya leo, Mamlaka ya Kudhibiti Kawi na Petroli nchini (EPRA) inatarajiwa kutangaza bei mpya za mafuta huku wasiwasi ukigubika sekta ya usafiri kuhusu bei hizo. Kwenye vituo vingi vya mafuta, waendeshaji magari wameonekana wakijaza mafuta kwa hofu ya mabadiliko hayo.