Skip to main content
Skip to main content

Watu 2 wafariki baada ya jumba kuporomoka Karen

  • | Citizen TV
    12,782 views
    Duration: 5:46
    Watu watatu wameaga dunia baada ya kuporomokewa na jengo mtaani karen hapa jijini nairobi. Watu wengine watatu wameokolewa kwenye vifusi vya jengo hilo lililokuwa linaendelea kujengwa mkabala na kanisa la Karen Community Church kwenye barabara ya Ngong